Na Umiya

Lyrics - Na Umiya

Justin Jay-T

Date : 10 Août 2018

Justin Jay-T Justin Jay-T Artist musicien

Paroles de la musique Na Umiya

*INTRO:*

Jay-T , Master Zab on the beat.

*COUPLAIN 1:*

Kwa kweli baby penzi langu
Kwako lili fika mwisho
Mbali na kutaka kwangu
Nime lazimishwa ku kaa mbali na wewe
Basi ni fiche sura yangu wapi.

Maamuzi hayo ume ya toa wapi? Baby!
Kumbuka kuna mashahidi wengi wa penzi letu.
Uwezo ndo nakosa ningi kunya pombe.
Chakula haki taki pita mami na juta.
Kuna muda nashindwa kuji elewa
Na Tamani chochote nikupe
Ndo maana kuna ahadi ambazo nime shindwa kutimiza.

*PONT:*

Wimbo tuliyo uimba ulikuwa *ukweli*
Eti moyoni mwako ume nipa *kiti.*
Hasa ime baki ya *mafariji*
Tayari nime tengwa na lako *penzi*

Nili fanya kila *mpango*
Ili niku *rizishe*
Lakini bado *lengo*
Ume enda eti penzi *liishe*

Eti siwezi olewa bila wewe ku niowa uuuuh!
Neno hili nali *jutiya*
Niki lifikiriya *na UMIYA*

Sijuwe nikupe nini uni *aminiye*
Maskini moyo niku *patiye*
Mapenzi yangu iku *vutiye*
Leo na UMIYA *miye*

*REFRAIN :*

Na umiya x8

Moyo Wangu
Muda Wangu nime upoteza
Kumbuka mi ni binadamu
Sina moyo wa chuma

Chaguo langu
Kuwa na mwengine sito weza
Kumbuka mi ni Adamu na wewe ni Hawa.

*COUPLAIN 2:*

Upendo wetu uli kuwa mhimu
Japo heshima nili vunjwa
Kisa na kupenda sana baby!
Nili shawishwa sana na mwenendo wako bora (bora)

Siku nyingi uli ni *vumiliya*
Nili onekana eti na ku *eneya*

Nafsi yangu ya *raha*
Ime geuka kikao kya *presha*
Nili amini we ni Wangu
Kumbe mengi uli ficha ndani
Nikweli penzi lako lili gusa moyo Wangu

*PONT =>*

*REFRAIN =>*

*CONCLUSION :*

uuuuuuuuuuuh!
Jay-T
*UYU NI MIYE*